Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingiwa Rehema Mwenye kurehemu. Hakika kila sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu, tunamhimidi yeye na tunamtaka...
Majibu ya swali hili zito yako katika umuhimu wa hali ya juu lakini ni lazima kutegemea majibu kutoka katika wahyi...
Kitabu hiki ambacho kiko mikononi mwako kinakufahamisha kuhusu uislamu, kwa Taswira pana na iliyoenea sehemu zake zote (Itikadi zake, Adabu,...
Msingi muhimu wa dini ya kiislamu ni neno la Tauhidi (Laa ilaaha illa llahu) na bila msingi huu madhubuti jengo...
Kuamini ujumbe wa Mtume Muhammad- rehema za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na amani- ndiye upande wa pili wa nguzo...
Amemuumba Mwenyezi Mungu Baba yetu Adamu -juu yake Amani- kutokana na udongo, kisha akampulizia roho itokayo kwake, Amesema Mwenyezi Mungu...
Kwa hakika ilikuwa tofauti ya miaka kati ya Nuhu na Adamu ni karne kumi, alimtuma Mwenyezi Mungu kwa watu wake...
Kisha baada ya muda fulani alituma Mwenyezi Mungu kwenye kabila la Aad katika sehemu iitwayo Ah'qaaf- baada ya kuwa walikuwa...
Kisha baada ya hapo alimtuma Mwenyezi Mungu Nabii Luut kwa watu wake na walikuwa ni watu wabaya wanamuabudu asiyekuwa Mwenyezi...
Kisha ukapita muda kidogo, na likaanza kabila la Thamuud kaskazini mwa bara arabu na wakapotea kwa kuacha njia iliyonyooka na...
Kisha akamtuma Mwenyezi Mungu baada ya hapo Nabii Ibrahim - juu yake amani- kwa watu wake baada ya kuwa wamepotea...
Kisha akatuma Mwenyezi Mungu baada ya hapo kwa watu wa Madyan ndugu yao Shuaibu baada ya kuwa wamepotea na wakaachana...
Kisha akazuka katika mji wa Misri mfalme muovu mwenye kiburi, anaitwa Fir'auni anadai uungu na kuwa wamuabudu yeye na anawachinja...
Kwa hakika alikuwa Maryamu mwana wa Imrani Bikira aliyekuwa twahara ni mshika ibada miongoni mwa washika ibada na mwenye kufuata...
Na baada ya kunyanyuliwa Issa -Amani iwe juu yake- kilipita kipindi kirefu takribani karne sita (miaka mia) (600) watu wakazidi...
Uislamu una nguzo tano za msingi, kwa uwazi wake nikuwa ni wajibu wa muislamu kulazimiana na nguzo hizo mpaka isadikike...
Na ikifahamika kuwa nguzo za uislamu kuwa ni alama za wazi ambazo anazitekeleza muislamu na kuwa utekelezaji wake unajulisha juu...
A- Maamrisho. Hizi ni Baadhi ya Tabia za uislamu na Adabu zake ambazo zinapupia juu ya kuifunza tabia njema jamii...
Jambo la Kwanza: Shirki; Kuelekeza aina yoyote katika aina za ibada kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu) Kama mwenye kumsujudia asiyekuwa Mwenyezi...
Haya madhambi makubwa na yaliyoharamishwa ambayo tumeyataja, ni wajibu kwa kila muislamu ajiepushe nayo na kuchukua tahadhari kubwa ya kudumbukia...
ilivyo kuwa maneno na matendo na kukiri kwake Mtume wa Mwenyezi Mungu -Rehema za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na...